matukio mabaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Kibaha: Waiba gari, kichanga na kuwatumbukiza wazazi kwenye shimo la choo

    Wizi mwingine sasa ni kama wametumwa na waganga wa kienyeji! Sasa huyo mtoto wamempeleka wapi kama si uchawi wote huo. =================== Watu ambao hawajafahamika wamevamia nyumbani kwa mkazi wa Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani, Melkisedeck Sostenes na kupora gari, pesa na vitu mbalimbali kisha...
  2. C

    Kila mtu ameumbwa na nguvu zake na kuna damu huwa haziendi bure

    Kila mtu ameumbwa na nguvu zake za ziada ingawa tunafanana, eiza ikwa ni sababu ya kuwa kalibu kiimani na Muumba wake, au na asili ya chimbuko la mizimu yake huko alikotoka Inawezekana umeshashuuhudia kitu kama hiki, kuna watu wakifa lazima waenda na watu kwa namna moja au nyingine, na hata...
  3. sifi leo

    Viongozi WA Dini, Barile na wenzako, umoja wa Madakitari kuweni kimnya mpaka muuwawe nyinyi ndo mtasema?

    Ninalia ninalia naililia Tanzania Sifi Leo Nina lia Nina lia naililia Tanzania Sifi Leo nampeleka kilio changu kwa umoja wa wanahabari Tanzania mnasubilia Nini kuungana na chadema kupinga kumteka na kuua mtu? Mpaka mtekwe nyinyi muuawe ndo mseme au mtoe tamko? Najiuliza kwa habari za kusifu...
  4. U

    Kuna gari V8 nyeusi imepaki hapa Kijiweni kwetu kitambo kidogo, hatujui nani mmiliki na kwanini ipo hapa!

    Mrejesho: saa 11:08 Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu Wadau hamjamboni nyote? Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa Ila...
  5. USSR

    Polisi yakamata mtandao wa mauji nchini yafukua miili 7 Dodoma na 3 singida ,watekaji wadakwa

    Hongera jeshi kwa kazi nzuri sana USSR
  6. J

    Zitto Kabwe ampinga Waziri Masauni, asema Utekaji upo na unaendelea hivyo Waziri aukomeshe!

    Zitto Kabwe amemtaka waziri Masauni atembelee vijiji vya Kidegye, Heru Ushingo na Katanga wilayani Kasulu akashuhudie madhila ya Utekaji Zitto Kabwe amelalamika ukurasani X Ahsante 🐼 Pia soma - Tamko la Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani kuhusu madai ya kusambaa kwa matukio ya utekaji wa...
  7. Manyanza

    Matukio yanayoweza kumbadilisha kabisa mtu

    Kufilisika. Kusalitiwa na rafiki wa karibu. Kifo cha mzazi. Kuvunjika moyo (heart broken). Pale unapogundua hakuna mtu anaekuja kukusaidia. Ongeza.
Back
Top Bottom