matukio ya ajali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Manyara: Watu wanne, wafariki dunia, wakiwemo wanafunzi watatu na dereva katika ajali iliyohusisha Coaster na Scania

    Watu wanne wamefariki dunia wakiwemo Wanafunzi watatu na Dereva mmoja katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwemo Coaster na gari la mizigo aina ya Scania. Ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo August 31,2024 katika eneo la Gajal Babati Mkoani Manyara ambapo Coaster ilikuwa imebeba Wanafunzi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…