matukio ya kiserikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kampuni binafsi za kufanya protocols kwenye event kubwa za serikali; Je, ni utashi wa nani? Vetting yake inaangaliwa kwa jicho la tatu?

    Karibuni wadau! Naomba kuuliza kwa nia njema sana maana mimi pia nina uzoefu usajili wa makampuni, jina la biashara na taasisi mbali mbali. Nina kiu ya kujua machache tu juu ya makampuni binafsi ya kufanya protocol kwenye event za serikali na taasisi zake. Maswali yangu machache; 1. Je...
  2. Kwanini kwenye Matukio ya Kiserikali Viongozi wa Dini hufanya maombi kwa kusoma karatasi kama risala?

    Salam! Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu wanachofanya viongozi wa Dini wanapoalikwa kwenye matukio makubwa ya kitaifa hasa yanayomuhusisha Mhe. Rais. Moja ya swali ninalojiuliza ni namna viongozi hao wanavyofanya SALA/MAOMBI kwa kusoma kama wanasoma risala. Nauliza ndio utaratibu wa serikali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…