Ni yule ambaye aliripotiwa hapa JamiiForums na Member mmoja nimemsahau jina kuwa alimjeruhi aliyemhusi mwizi wa mkewe (mama Zai ambaye sasa ni mjamzito) kwa kumkata kiukatili sikio na kidole kisha kupita navyo sokoni Kawe akiwa anatamba na kuvionyesha kwa watu huku akisema hakuna wa kumtisha...
dar es salaam
jaribio la kuua
jeshi la polisi
jeshi la polisi tanzania
matukioyaukatili dar
matukioyaukatilikawe
mtuhumiwa
muuza mihogo akamatwa kawa
muuza mihogo kawe
tcra
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.