matumizi fedha za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Ikulu pamoja na Ofisi ya Naibu Rais wa Kenya zapokea nyongeza ya Kshs Bilioni 5 (Tshs Bilioni 99) kwa ajili ya usafiri, burudani na mishahara

    Wakuu, Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana. Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa ajili ya safari, burudani, na malipo ya mishahara. Kwa mujibu wa bajeti ya nyongeza...
  2. A

    KERO Diwani kata Bakoba Manispaa ya Bukoba analazimisha kubadilisha matumizi ya fedha ujenzi wa Soko la Dagaa

    DIWANI KATA BAKOBA ANALAZIMISHA KUBADILISHA MATUMIZI YA FEDHA UJENZI WA SOKO LA DAGAA. Diwani wa kata ya Bakoba Manispaa ya Bukoba Ndg, Shaban analazimisha kuhamishwa kwa fedha Tsh Mil 28 zilizotolewa na Waziri Mkuu kwa ajii ya kuanza ujenzi wa soko la dagaa kwenda kwenye ujenzi wa Zahanati...
  3. P

    Mchango wa ujenzi wa kanisa aliotoa Rais Samia unatoka serikalini au mfukoni kwake? Nini kipo nyuma ya mchango huo?

    Wakuu, Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake. Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake? Nini kipo nyuma ndani ya mchango...
  4. R

    Rais Ruto atetea safari zake za nje: Mimi si mtalii, ninasafiri kwa mpango

    Rais William Ruto ameendelea kufafanua safari zake za mara kwa mara za nje ambazo zimezua kejeli kutoka kwa baadhi ya Wakenya. Akiwa katika ibada ya kanisa huko Kimende, Kaunti ya Kiambu siku ya Jumapili, Ruto alikariri kwamba ziara zake nyingi za Kiserikali ni kwa manufaa ya ukuaji wa Kenya na...
Back
Top Bottom