matumizi mabaya ya kodi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BLACK MOVEMENT

    Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe

    Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi. Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za...
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo. Makonda amesema hayo wakati...
  3. mludego

    Serikali inatumia Kodi zetu kiholela sana

    Serikali inatumia Kodi zetu kiholela sana, Nimetembea Mikoa mbalimbali hapa nchini Sasa humo wilayani kuna kuogopesha kwa uwepo wa magari waliyoyabatiza Kwa jina la magari mabovu (chakavu), Lakini kiuharisia naona sio jina sahihi maana Kwa gharama za service sio kubwa kama gharama gari la...
  4. H

    Maandamano dhidi ya Serikali za kiafrika yajikite kwenye kupinga matumizi makubwa ya viongozi na Serikali

    Habarini, Shida zote ndani ya Afrika zinatokana na matumizi makubwa ya serikali kwa kununua magari ya kifahari na kujilipa mishahara na marupurupu makubwa pasipo kujali kuondoa huduma mbovu za wananchi. Wananchi wagome na kuandamana dhidi ya matumizi mabaya ya raslimalinza serikali na siyo...
Back
Top Bottom