matumizi ya akili mnemba kuchora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiCheck

    Pamoja na kukua kwa Teknolojia Duniani, hadi sasa AI haiwezi kuuchora mwili wa binadamu kwa usahihi

    Ingawa teknolojia ya Akili Mnemba (AI) imepiga hatua kubwa katika kuchora na kuzalisha picha za binadamu, bado kuna changamoto kadhaa katika kuonesha viungo vya mwili kwa usahihi. Hii inatokana na jinsi AI inavyojifunza kutoka kwa mamilioni ya picha lakini bila kuelewa kikamilifu kanuni za...
  2. Bob Manson

    Dalili za kupotea kwa sanaa ya uchoraji kutokana na matumizi ya IA (Artificial Intelligence)

    Matumizi ya AI yameshika kasi, uwezo wa program hizi kutengeneza picha kutokana na maono au mawazo ya mtumiaji, kumeongeza wimbi kubwa la picha hizo zikitumika katika maeneo tofauti. Wasi wasi wangu ni kwamba itafika wakati hakutokuwa na haja ya kuwa na wachoraji wa picha, kwasababu program...
Back
Top Bottom