Waungwana naombeni ufafanuzi wenu juu ya tetesi/hoja kuwa kuchanganya asali pamoja na limao kwa wakati mmoja inaweza kupelekea kifo kwa mtumiaji kwa kigezo kuwa Mchanganyiko huo hugeuka kuwa sumu, Hii habari niliisikia zamani nikiwa Bwana Mdogo na mpaka leo nimekuwa, sijaweza kuhakikisha hilo...