Hii kampeni yenu mngetaka ifanikiwe mgefanya mnavyojua bei ya gesi ishuke, Kwa mtungi mdogo iwe 15000 kama kipindi cha MUHESHIMIWA, RAIS, DAKTARI JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, yeye aliwezaje?
Matumizi ya kupikia kwaa Gesi na Umeme bado ni vitu LUXURY! bei zipo juu Sana huwez kumshawishi mtu...
Serikali imejipanga vipi kuhakikisha mwananchi wa kawaida anatumia gesi au umeme kupikia?
Je, huu uamuzi wa serikali kuwataka wananchi kutumia gesi badala ya kuni na mkaa, imefanya tathmini ipi na kugundua kuwa wananchi wa kawaida wanaweza kumudu gharama za matumizi ya gesi?
Kama serikali ina...
Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagizi waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt. Suleiman Jafo kuandaa katazo na kupiga marufuku matumizi ya Kuni na Mkaa kwa tasisi zote ambazo zinahudumia watu zaidi ya 100 na kutumia nishati safi ili kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.