President William Ruto on Tuesday acknowledged abuses by Kenya's security forces, in the wake of demonstrations against a recent wave of alleged kidnappings that have sparked outrage in the country.
Security forces in the East African nation have been accused of carrying out dozens of illegal...
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua...
Katika falisafa ya Uongozi Matumizi ya nguvu sana huwa siyo jambo linalopewq kipaumbele.
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kufananisha Matumizi ya nguvu na Sabuni.
Unajua kadiri unavyoitumia sana sabuni ndivyo inavyoishia na Mwisho kwa sababu unaitumia sana utajikuta imeisha.
Ninapoitazama nchi yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.