matumizi ya simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Logikos

    Kuelewa Matumizi / Ugavi wa Umeme ni rahisi ukifananisha na Bandwith (Matumizi ya Simu) OffPeak na Peak Times.

    Kama vile ilivyo bandwidth yaani capacity ya watu kuweza kuongea kwa wakati mmoja kwenye simu / mitandao ndio hivyo Umeme ukishauzalisha inabidi utumike, sababu kuutunza ni gharama, (Ingawa unaweza kutumia Bwawa kama Battery), kwahio nikichukulia mfano wa kama watu wanaweza kunywa maji Pipa moja...
  2. G

    Ni umri gani mtoto apewe simu ya kitochi cha mawasiliano? Ni umri upi apewe smartphone yenye internet?

    Toa pendekezo, sababu, elimu na tahadhari Kuanzia umri gani mtoto apewe kitochi cha kuwasiliana N umri upi apewe smartphone
  3. G

    Hezbollah waliogopa matumizi ya simu kwa hofu ya Israel kuhack mawasiliano, vifaa mbadala waliuziwa na Israel bila kujua, wamestuka baada ya shambulio

    Baada ya kuona Israel ina uwezo mkubwa wa kudukua mawasiliano ya simu, Hezbollah walichofanya ni kufikia uamuzi wa kununua vifaa maarufu vilivyotumika miaka ya 90 vinavyoitwa "pagers", vinatumia mawimbi wa redio badala ya minara ya simu au internet. Wasilojua ni kwamba walikuwa wamefanya kosa...
  4. Annie X6

    Video fupifupi almaarufu kama clip mitandaoni, zinazoelekeza cha kufanya kwenye simu zetu

    Wakuu msithubutu kufuatilizia wanaoelekeza kudial namba flan flan (code) kwa Mfano #33*0000# eti itakusaidia kufanya jambo flan kwenye simu yako. Ushuhuda. Julie kabla ya eid Al adhaa niliangalia kwenye clip ikasema ill mtu asikupate labda hutaki usumbufu na utabaki online dial code nikazidial...
  5. BARD AI

    Hizi ni dalili 7 kuwa una Uraibu (Addiction) ya matumizi ya Simu

    Simu ni Kifaa muhimu cha mawasiliano kwa binadamu yeyote lakini haitakiwi kuwa sehemu ya mwili wako kiasi cha kukufanya uwe kama mtumwa kifaa hicho. Wataalaamu wa Saikolojia wanasema, ukitaka kubaini kama umepata Uraibu (Addiction) ya matumizi ya Simu, anza kuangalia ni kwa muda gani unaweza...
Back
Top Bottom