Nashauri serikali ipeleke muswada maalum wa kuwalinda watoto kwa kuwa ni dhahiri muda si mrefu watakuwa waathirika.
Katika Hali ya sasa binadamu wamekuwa kama wanyama pori, bata au kuku, madume yanadunga mimba halafu yanaondoka.
Hii ya kusema single mother ni signal kwamba katika jamii kuna...
S/N
MASWALI
MAJIBU
1
Mtoto wa umri gani analazimika kisheria kubaki na mama pale wazazi wanapotengana au kuachana?
Kwa mujibu wa sheria ya mtoto ya mwaka 2009 iliyofanyiwa marekebisho Mwaka 2019 kifungu cha 26 (1) (a), (b) (c) na (2) inaeleza kwamba endapo wazazi watatengana mtoto atakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.