matunzo ya mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwa kuwa kuzaa nje ya ndoa imekuwa kama fasheni, zitungwe sheria kali za matunzo ya mtoto

    Nashauri serikali ipeleke muswada maalum wa kuwalinda watoto kwa kuwa ni dhahiri muda si mrefu watakuwa waathirika. Katika Hali ya sasa binadamu wamekuwa kama wanyama pori, bata au kuku, madume yanadunga mimba halafu yanaondoka. Hii ya kusema single mother ni signal kwamba katika jamii kuna...
  2. Baada ya Ndoa kuvunjika, sheria inasemaje hivi kuhusu matunzo ya mtoto?

    S/N MASWALI MAJIBU 1 Mtoto wa umri gani analazimika kisheria kubaki na mama pale wazazi wanapotengana au kuachana? Kwa mujibu wa sheria ya mtoto ya mwaka 2009 iliyofanyiwa marekebisho Mwaka 2019 kifungu cha 26 (1) (a), (b) (c) na (2) inaeleza kwamba endapo wazazi watatengana mtoto atakuwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…