Habari!
Naandika hapa huu Uzi Kuomba majibu kutoka kwenu.
Naomba Kila mtu aniambie hii Hali hua ananiona inatokana na Nini?
Na hii Hali ni nzuri kweli?
Najua wengi tushaiona hata wengine kukumbana nayo..Kuna hii tabia mtu unaandika maoni Yako kwenye social media yoyote either X, insta au...