Hili swala la mtu unaleta hoja au unatoa wazo halafu anatokea binadamu mmoja anaanza kukutukana. Sasa unalazimisha akili zangu ziwe zako!?.
Kila mtu ana namna yake ya kufikiri na kuwaza usilazimishe tufanane, sasa ukitukana ndo umesaidia nini!?.
Tuheshimiane, umeona hoja hujaielewa na huwezi...