maua sama

  1. MSAADA; hivi kwenye ule wimbo wa Nandy na Maua Sama wanaposema " siku hizi bila beat naenda ata akapela" walimanisha nn?!!

    Kama kichwa kinavyojieleza..nahitaji ufafanuzi wa huo mstari kwenye wimbo wa hao mabinti wawil ambao inasemekana wanapenda sana kwichkwich! Merry Christmas 🌲
  2. Maua Sama ajitokeza hadharani kuongeza matiti Mloganzila

    Baada ya mashabiki kumsakama kwa muda mrefu kuhusu muonekano wake na sura kiujumla, mwanamuziki kutoka Tanzania House Of Talent (THT) Maua Sama aonesha niya yake ya dhati kuhusu kubadili muonekano wake. Hii si mara ya kwanza kwa Maua kutaka kubadili muonekano wake ila inaonesha kilichokuwa...
  3. Waandishi wa nyimbo za maua Sama mturudishie msanii wetu pendwa

    Naongea kama mmoja wa mashabiki na wapenz wa mziki wa Maua Sama ninaoamini kabsa Maua ndo msanii mwny kipaji zaid kuliko wengine Afrika Mashariki(hii ni pamoja na nchi zilizojiunga juzi kati),na katika hilo sihitaji hata nguvu yoyote kulitetea mana kwa wengi wanaoujua mziki mzuri na melody tamu...
  4. Wimbo wa Dully Sykes ft Maua Sama 'Naanzaje' Vs 'Naanzaje' by Diamond Platinumz

    Udukuzi umefanyika hapo tena kwa hali ya juu. Ningeshauri Diamond angeomba remix tu na brother men Dully Skys Dully Ft Maua: Diamond Platnumz:
  5. H

    Niteke ya Maua Sama

    Kwangu me hii ngoma ndio ngoma yangu Bora kwa mwaka huu.Wakati maua sama ametoa iokote nilizani amebahatisha hi ngoma ilikuwa kubwa sana kuliko jina la maua sama nikajiuliza je ngoma inayofuata itaifunika iokote bila Shaka maua sama kapindua meza ndio ikatokea hi ngoma. Hi suala lilimshindwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…