Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo. Inauma sana.
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini.
=========
UPDATE: May 01, 2014
PIA SOMA
- Uelewa wangu...