mauaji ali kibao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Tanga: CHADEMA yakutana tena na Familia ya Ally Kibao, Yatoa Rambirambi

    Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa na Chama hicho Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mhe. Amani Golugwa Leo tarehe 8 Oktoba 2024, akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Tanga Mhe Jonathan Bahweje wamefika nyumbani kwa marehemu Ally Kibao, Jijini Tanga na kutoa rambirambi za pole kwa...
  2. Ngongo

    Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

    Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU. Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi...
  3. The Khoisan

    Hivi hii ya Msigwa kumlipua Mzee Ali Kibao ina ukweli gani?

    Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa anajisikiaje huko aliko? YUDAS ISCARIOT! PIA SOMA - TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa...
Back
Top Bottom