mauaji kilindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    IGP Sirro: Nimeumia sana kuwasikia Wanafunzi wakiniambia hawajaenda shule kwa sababu wanaogopa kuuawa na Wamasai hapa Kilindi

    IGP Sirro amefanya ukaguzi wa kushtukiza wilayani Kilindi ambako wananchi sita wameuawa katika mapigano kati ya Wakulima na wafugaji. Sirro amesema alijisikua maumivu moyoni baada ya kuelezwa na wanafunzi kuwa wameshindwa kwenda shule wakihofia kuuliwa na wamasai. IGP Sirro ameahidi kupeleka...
  2. J

    Kilindi, Tanga: Watu watano wauawa kwenye mapigano ya Wakulima na Wafugaji

    Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi. Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali. Chanzo: ITV habari ===== Watu watano akiwemo...
Back
Top Bottom