Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.
Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.
Chanzo: ITV habari
=====
Watu watano akiwemo...