Wivu wivu wivu wa mapenzi unazidi kutoa roho za watu wengi waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi jamani.
=====================
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Castory Abusalam Kindole mwenye umri wa miaka 48 mkazi wa Kijiji cha Idindilimunyo wilayani Wanging’ombe kwa tuhuma za...
MAUWAJI YA KUKUSUDIA YA YAMPELEKEA KUNYONGWA HADI KUFA
Taitus Malambwa Miaka 28 Mkazi wa kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa katavi amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Mke wake baada ya kukasiri kunyimwa na Mkewe tendo la ndoa.
--
Jukumu moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.