Watuhumiwa tisa wa mauaji ya mtoto Asimwe Novart aliyekuwa na ulemavu wa ngozi (ualbino) aliyeripotiwa kuibiwa nyumbani kwao Mei 30, 2024 na mwili wake kupatikana June 17, 2024 ukiwa umeondolewa baadhi ya viungo vyake, leo June 28, 2024 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba na...
Nchi hii tusioamini hayo mambo ya kichawi twaweza tusifike hata watu 100!
Humu JF yenyewe tu sidhani tunafika hata watu 6!
Wengine wote waliobaki ni watu wenye kuamini hayo mambo, ambayo kiuhalisia hayapo.
Uchawi haupo. Ni fiksi tu. Ni uongo ulio mrahisi kuugundua.
Kitendo cha binti mrembo...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) nakwa pamoja wamelaani vikali tukio la lililotokea Wilayani Muleba mkoani Kagera la utekwaji na mauaji ya kikatili ya mtoto mwenye ualibino Asimwe Novath.
Kufuatia tukio hilo wadau...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema kuwa tayari Jeshi la Polisi limewakamata watu wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath (2).
Mei 30, 2024 Asimwe anadaiwa alichukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera na juhudi za...
Taarifa za kifo cha huyu mtoto zimeumiza mioyo yetu, mtoto wa miaka miwili kufanyiwa ukatili huu si jambo la kulifumbia macho na ilipaswa tupaze sauti tangu alipokamatwa tarehe 30/05/2024.
Uhai wa Asimwe umedhulumiwa na watu wabaya kwa sababu zao wanazozijua wenyewe lakini kama Taifa...
Mtoto mwenye Ualbino Asimwe Novath aliyekuwa na miaka miwili na miezi sita, mkazi wa Kitongoji cha Mbale Kijiji cha Bulamula kata ya Kamachumu wilaya ya Muleba mkoani Kagera amekutwa amefariki na mwili wake umefungwa kwenye mfuko (Sandarusi) huku ukiwa hauna baadhi ya viungo.
Akizungumzia...
albino kupotea
haki ya kuishi
haki za watoto
imani za kishirikina
kuelekea uchaguzi mkuu
mauajiyaalbinomauajiyaalbinokagera
mila potofu
mtoto asimwe afariki
mtoto asimwe novath
mtoto mwenye ualbino
ukatili kwa albino
ukatili kwa watoto
waganga wa kienyeji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.