mauaji ya kutisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Echolima1

    Mauaji ya kutisha kwa wakristo na alawite wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Assad huko Syria

    Huko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mshukiwa wa mauaji ya kutisha ya Watu watatu wa familia nchini Kenya, akamatwa na DCI

    Mshukiwa mmoja amekatwa na Mkurugenzi wa Jinai (DCI) kuhusiana na mauaji ya Kinyama ya watu watatu wa familia moja, ambao walipatikana wakiwa wameuawa baada ya kutekwa nyara katika mtaa wa Eastleigh, nchini Kenya. Polisi wamelipata gari lililotumiwa na wahalifu katika soko la Wakulima...
Back
Top Bottom