mauaji ya mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Dodoma: Watuhumiwa mauaji ya mtoto Graison wafikishwa mahakamani

    Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wamefikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024. Soma, Pia: Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama...
  2. Waufukweni

    Bukoba: Kesi ya Mauaji ya Mtoto mwenye Ualbino (Asimwe) yahirishwa, kutokana na mshtakiwa kupelekwa Isanga

    Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba imeahirisha kesi inayowakabili washtakiwa tisa wa kesi ya mauaji ya Asimwe Novart, mtoto aliyekuwa na Ualbino ambaye aliuawa na baadhi ya viungo vyake kukutwa vimenyofolewa wilayani Muleba mkoani Kagera mwezi Mei mwaka huu. Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba...
  3. KING MIDAS

    Geita: Polisi wadaiwa kuua binti kwa risasi

    Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu. Akiongea na...
Back
Top Bottom