Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wamefikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024.
Soma, Pia: Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana
Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama...
Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba imeahirisha kesi inayowakabili washtakiwa tisa wa kesi ya mauaji ya Asimwe Novart, mtoto aliyekuwa na Ualbino ambaye aliuawa na baadhi ya viungo vyake kukutwa vimenyofolewa wilayani Muleba mkoani Kagera mwezi Mei mwaka huu.
Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba...
Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.
Akiongea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.