maudhui tija mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Watengeneza content za kuoga au kuvunja vitu kwenye barabara zenye foleni kubwa wachukuliwe hatua, wataleta maafa!

    Wakuu mpo vizuri? Huyu jamaa aliyejirekodi akioga na kuvunja nazi katikati ya barabara aliona hii ndio njia sahihi ya kuchekesha? Hapana, huu ni ujinga na hatari. Kwanza, anachafua barabara kwa mabaki ya nazi na maji, akiharibu miundombinu. Pili, amesababisha foleni kwa madereva waliolazimika...
  2. Cute Wife

    Hata kama ndio kutengeneza content ila hii hapana!

    Wakuu mko vyedi? Watengeza maudhui hawa walikaa chini wakafikiria wakaona hii ndio content inafaa na inachekesha kabisa?! Hapana jamani hii siyo sawa. Kwanza ni hatari kwao na hata kwa magari na watumizi wengine wa barabara. Mtu anatoka huko breki zimefeli anakuja kukuvaa utamlaumu nani, tena...
Back
Top Bottom