Mtaani kumekuwa na maneno mengi sana Juu ya suala la Watu Mshono (Kidonda cha upasuaji) Kuwa wanapata Maumivu Kipindi cha hali ya hewa ya Baridi, Mvua au mawingu, Japo wapo kadhaa ambao walithibitisha kupata maumivu katika vipindi hivyo, Lakini ningependa kufahamu zaidi katika Ngazi ya Utabibu.