Natumaini kwamba itakuwa ni siku njema kwenu zangu wakubwa kwa wadogo. Naomba kuwasilisha hoja yangu kwa maelezo yafuatayo:
Nina dada yangu wa miaka 25 anasema kuwa huwa anapata maumivu ya tumbo wakati anapokuwa kwenye siku zake za desturi (hedhi) na ameongeza kuwa amejaribu kutafuta tiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.