maumivu ya jino

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR HAYA LAND

    Huduma ya kwanza kwa mtu anayesumbumiwa na maumivu ya jino

    Hello ,happy new year. Ukiwa unaumwa jino , unashauriwa kwenda hospital Kwa ajili ya matibabu zaidi . Ila pia ikiwa upo mbali na hospatli Ila maumivu yamekuzidia Sana . Chukua maji ya moto changanya na Chumvi baada ya hapo weka mdomoni usukutue Sana kuanzisha dk 5-10 Rudia rudia hilo zoezi...
  2. C

    Maumivu ya jino

    Jino langu lilizibwa permanent baada ya kufanyiwa procedure inaitwa root canal kama sijakosea. Nimekaa jino likiwa sawa tu kwa miezi 6 ila sasa limeanza kuuma nini shida?
  3. Moshi25

    Kupunguza au kuondoa kabisa maumivu ya jino kabla ya kwenda hospitali sukutua kwa maji ya chumvi mara 5 kwa siku, siku tatu kisha nenda hospitali

    Mimi naapa nilikuwa siwezi kula , kunywa wala kulala, meno yametoboka yanauma mno hadi machozi yanakuja mi mwanaume nakaza hakuna kulia, mishipa ya kichwa inatoka kichwa kinauma mno, nikamuuliza msela mmoja boda boda nifanyeje kupata ahueni, sidhani kama alimaliza la saba B. Mimi nina madigrii...
Back
Top Bottom