Nifah na wanajf wenyeji wao mzito imekuwaje Mauzinde katua Canada bila masikio? Nani mfadhili? Kasema atafanya bonge la party ya kukatwa masikio.
Au kukatwa masikio ilikuwa mchezo ili apate ufadhili? Mbona ghafla jamani?
PIA SOMA
- Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata...