mauzinde kukatwa masikio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nani kamfadhili Mauzinde kwenda Canada?

    Nifah na wanajf wenyeji wao mzito imekuwaje Mauzinde katua Canada bila masikio? Nani mfadhili? Kasema atafanya bonge la party ya kukatwa masikio. Au kukatwa masikio ilikuwa mchezo ili apate ufadhili? Mbona ghafla jamani? PIA SOMA - Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata...
  2. Zanzibar: Polisi watolea ufafanuzi sakata la Mauzinde kukatwa masikio

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetolea ufafanuzi juu ya tukio la kushambuliwa kwa Kijana Mmoja anayefahamika kwa jina la Maulid Hussein Abdallah maaraufu Mauzinde Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamishna Msaidizi Muandamizi wa Polisi SACP Daniel Shilla...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…