mauzinde zanzibar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nani kamfadhili Mauzinde kwenda Canada?

    Nifah na wanajf wenyeji wao mzito imekuwaje Mauzinde katua Canada bila masikio? Nani mfadhili? Kasema atafanya bonge la party ya kukatwa masikio. Au kukatwa masikio ilikuwa mchezo ili apate ufadhili? Mbona ghafla jamani? PIA SOMA - Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata...
  2. Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni

    Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar alitekwa na watu wasiyojulikana, wakamshambulia kwa kumkata masikio yote mawili, wakamfunga bandeji na kisha kumtelekeza msituni Tukio hilo lilitokea jana Jumapili Juni 2, 2024 usiku eneo la Kibele Wilaya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…