Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai
Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai anafafanua kuhusu utendaji wa Bohari ya Dawa (MSD) kuhusu ilivyojipanga katika kutoa huduma ikiwemo kuongeza wataalam wa afya na kununua vifaa.
Amesema MSD imeendelea kufanya Maboresho na mageuzi upande wa huduma za...