Fedha za vijiji au kata ni mali za wananchi au mali ya umma ila viongozi wa CCM wakishirikiana na watendaji wa kata na vijiji pamoja na wenyeweviti wao wamekubaliana kuchota fedha za umma kwajili ya kulipa mawakala.
Jambo ili lipo kinyume na sheria na usimamizi wa fedha. Na ili limetokana na...