mawaziri waliohujumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wazee wa Simba kuanika majina ya Mawaziri waliohujumu Dabi ya Kariakoo

    Kipigo cha bao 1-0 kwenye derby ya Kariakoo kimewaibua Wazee wa klabu ya Simba, ambao sasa wametoa siku saba kwa mawaziri ambao wanawashutuma kwa kile wanachodai kuwa ni hujuma dhidi ya klabu yao. Wazee hao wanadai kuwa baadhi ya viongozi wa Serikali, TFF, GSM na Yanga walihusika katika mpango...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…