mawazo ya biashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Obed maagi

    Mawazo ya Biashara Yaliyo wafanikisha watu.

    Ni muda sasa umepita na watu wengi wamekuwa wakichangia mijadala na kutoa Thread mbalimbali kuhusu mawazo ya biashara, na muongozo wa uendeshaji wa biashara ni muda rasmi kila mmoja alifanikiwa kupitia wazo la biashara kutoka Jukwaa hili la biashara kutoa ushuhuda wa wazo na namna alivyofanya...
  2. TozzyMay

    Napataje mawazo mazuri ya kuanzisha biashara? Kufikiria mwenyewe haitoshi kunipa wazo sahihi kwa asilimia 100.

    Kumradhi Ndugu yangu. Nawaza kuanzisha biashara ila sijafikia muafaka mawazo yangu. Sijazaliwa kwenye familia yenye umaridadi sana na biashara, ila hii haimanishi kwamba siwezi kufanya biashara. Naamini naweza kuwa Maridadi sana kwenye Biashara. Nahitaji data na mawazo Yako, Ndugu yangu...
  3. Mshati940

    Msaada wa mawazo ya biashara kwa Mtaji wa Milioni 5 Mjini Bariadi mkoa wa simiyu

    Kama kichwa cha hapo juu kinajieleza kwa walio bahatika kutembelea mji wa bariadi naomba msaada wa mawazo wa fursa za kibiashara walizoziona ambazo mtu mwenye mtaji at least wa Milioni 5 anaweza kufanya na maisha yakaenda vizuri. Natanguliza shukrani
  4. KENGE 01

    Kwanini Mawazo ya biashara kwa sisi Watanzania hufanana sana. Ni uvivu wa kufikiri?

    Anaandika Kenge Kwanini mawazo ya biashara hasa kwa sisi fresh youth yanafanana sana? yani ukikamata vijana kumi wa kibongo ukawapa mtaji ukawaambia fanya biashara..Watakimbilia kufungua duka Kuuza la Nguo Kuuza Viatu Kuuza simu,charger,Makava kufuga kuku kuuza Nafaka KUuza...
  5. sky soldier

    Kila kitu kina mwanzo: Njoo hapa tupeane mawazo ya biashara ambazo bado hazijafika Tanzania tuziwahi fursa.

    Hizi tuziite ni biashara bikra huwa ni sawa na kuwa mwanaume wa kwanza. Ni biashara nyingi sana hazikuwepo Tanzania bali ziliingia kwa kucopy na ku paste biashara zinazofanywa nchi zingine. Uzuri wa kuanzisha biashara mpya unapata jina haraka sana (Monopoly) na uta enjoy super abnormal Profits...
  6. hp4510

    Naomba mawazo ya biashara ya viazi

    Wakuu salaam Kuna ndugu yangu anataka kuanzisha biashara ya kununua FUSO zima la viazi vya chips / viazi ulaya/ viazi mviringo, Njombe na kuja kuuza Dodoma Naomba Kwa mtu mwenye uzoefu au amewahi kufanya hii biashara atoe uzoefu wake Hasa kwenye mambo ya soko kwenye kununua na kuuza
  7. GoJeVa

    SoC02 Mawazo ya biashara hapa(hasa kwa wajasiliamali)

    PATA MAWAZO YA BIASHARA HAPA(HASA KWA WAJASILIAMALI). Andiko la leo, nitaongelea kuhusu biashara mbalimbali ambazo mtu mwenye mtaji uwe mkubwa au mdogo anaweza kuwekeza. Hivyo jongea katika huu ukurasa upate au uongeze maarifa juu ya biashara mbalimbali. Nitaanza kwa kuorodhesha biashara hizo...
  8. meshack anyambilile

    Nani mjinga? (Mawazo ya biashara)

    Mjinga Mjinga akimaliza la saba anaanza biashara ya kuchoma mahindi halafu atauza miwa, atalima viazi huku akikatisha mkaa. Baada ya miaka miwili mitatu ivi atafungua duka la nguo atasafiri kwenda Dar kufunga mzigo.... Kila hela atakayopata ataitunza kwa nidhamu kuu. Wafanyabiashara wenzake...
  9. NgimbaErick

    Professional Wordpress Website Designing Service

    Hello, je umeanzisha Kampuni au Biashara mpya na unatamani kuwa na website itakayobeba kampuni au biashara yako? au unayo Kampuni au Biashara muda mrefu tu, lakini umekuwa ukitamani kuwa na Website ili kukuza unachofanya? Basi, naomba kusema kuwa nafasi ndio hii sasa, ya kubadilisha Biashara...
Back
Top Bottom