maxenxemelo

  1. AbdurRahman

    Natafuta kazi nimesomea fani ya umeme

    Habari! Natafuta Ajira nimesomea uhandisi wa Umeme 'MUST', nimemaliza mwaka 2019. kazi yoyote ya Umeme nipo tyr kufanya hata Kama ni wiring n.k,,, Kwasasa napatikana Morogoro 'Msamvu', Nahitaji msaada wenu nipate japo connection niapate kazi ya kusogeza maisha. Simu 0654409392
  2. C

    Wenyeviti wa Serikali za mitaa, vijiji, vitongoji muda wenu umekwisha, Je adui yenu ni CCM au Serikali?

    Na Boniface Jacob Senior councillor Jana tarehe 22 October 2019 Wenyeviti wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji pamoja na Wajumbe wao Wamemaliza Muda wao wa Miaka 5 Tangu wachaguliwe Mwaka 2014 Muda kama huu kwa Mujibu wa Sheria namba 8 na 9 za mwaka 1982 (Sura 288) Kiutendaji jana ndiyo...
  3. Kidagaa kimemwozea

    Tumuache Maxence Melo na JamiiForums yake afanye kazi yake

    Hujambo mdau na msomaji wangu, Leo imenipendeza kulijadili hili swala, wewe mwenyewe utakuwa ni shahidi kwa namana, watu mbalimbali hasa vijana wanapo chakata akili zao na kuja na jambo la kimaendeleo namna wanavyo kumbana na changamoto mbalimbali zinazotokana na fikra hasi miongoni mwa pengine...
  4. Kichuguu

    Jukwaa la Mazingira na Mambo ya Asili (Nature)

    Kwa watu wengi leo hii JF ni platform wanapopatia elimu mbalimbali kuhusiania na siasa, historia, burudani, sheria, technolojia, uraia na kadhalika. Kuna eneo moja ambalo ninadhani sasa ni wakati wake kulifungulia jukwaa maalum, yaani mazingira na mambo mengine ya asili. Modereta, tafadhali...
Back
Top Bottom