JF wasaalam,
Kwa muda mrefu sasa najionea Kwa macho yangu wafanyabiashara wa Nchi jirani wakinunua nafaka vijijini. Karibia Kila Nchi inayotuzunguka wafanya biashara wa mazao wamekuwa wakiingia Tanzania hadi ndani vijijini kusaka mazao.
Hofu yangu ni watanzania wazawa ambao nao pia ni...