Rais Samia amesema mazao ya Mahindi na Mpunga Sasa ni rasmi mazao ya biashara sio ya Kilimo pekee kama hapo awali hivyo Serikali inayachukulia kama mazao ya kimkakati yanayoweza ingizia Serikali pesa za kigeni Kwa haraka..
My Take
Tuendelee kulima Mahindi na Mpunga,Kwa awamu ya 6 ni Neema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.