mazinge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Namuona Mwamposa nyuma ya anguko la kiroho la Mch. Moses Magembe na Ustaz Mazinge

    Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe. Nianze kwa ku declare interest. Am neither a Christian nor a Muslim. Mimi sio Mkristu wala si muislamu. Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu. So...
  2. Je utabiri huu wa mwaka 2004, kuhusu Mazinge kuokoka unakaribia kutimia

    Mwaka 2004 kuna mtu mmoja ( Mkristu) aliniambia ameoteshwa kwamba Mazinge ameokoka. Amekuwa mchungaji mkubwa sana na kanisa kubwa sana Tanzania. I told him " Sundu Meru". ( Wajaluo wakina popoma wa Bunda vijijini wanajua nini maana ya " Sundu Meru") Huyu jamaa tulikuwa tunabishana sana...
  3. Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

    Huko tuendako utasikia vumbi la upako toka Maka Shekhe Mazinge naye kaunga juhudi za harakati za upako. Jana nilipokuwa nashuhudia juu ya Shafii na Mazinge wanaomwita Dr. Sule mnganga, nao sasa kuangukia mle mle. Kuna muislamu mmoja sababu ya kuwa na mahaba na Mazinge akakanusha. Sasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…