Huko tuendako utasikia vumbi la upako toka Maka
Shekhe Mazinge naye kaunga juhudi za harakati za upako. Jana nilipokuwa nashuhudia juu ya Shafii na Mazinge wanaomwita Dr. Sule mnganga, nao sasa kuangukia mle mle.
Kuna muislamu mmoja sababu ya kuwa na mahaba na Mazinge akakanusha. Sasa...