mazingira mabovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pfizer

    Dar: Nchi za Afrika zajadili namna bora ya kudhibiti taka za kielektroniki(e-waste) ili kulinda Mazingira na kuongeza fursa za ajira kwa vijana

    Siku ya tatu ya Mkutano wa Nchi za Afrika zinazotekeleza Mradi wa Kudhibiti Matumizi ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu (EHPMP) ambapo leo Tarehe 6 Novemba 2024 umelenga kujadili namna bora ya kudhibiti taka za kielektroniki ili kulinda Mazingira na kuongeza fursa za ajira kwa vijana...
  2. Last_Joker

    Kwanini maisha yamekuwa kazi tu, kazi! Mbona hatuna muda wa raha?

    Siku hizi maisha yamekuwa kama mashindano ya marathon – unakimbia tu bila pumziko. Mara unakuta kila siku umeamka mapema, unakimbizana na muda, ukirudi nyumbani usiku umechoka, na wakati mwingine hata weekend hakuna kupumzika. Sasa hivi, ni kama vile kila mmoja wetu anataka “kufanikisha ndoto”...
  3. B

    Kisarawe: DC Petro Magoti ameutaka Msikiti unaotoa elimu ya dini kwa watoto 96, kuwarudisha walipowatoa sababu ya Mazingira Mabovu ya malazi

    Watoto kutoka Mtwara, Singida, Nairobi n.k wakutwa katika mazingira yasiyo rafiki ya malazi huku wakikosa elimu dunia msikitini Kiluvya wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani nchini Tanzania wakipatiwa mafunzo ya kidini. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti akiwa na Kamati ya Ulinzi wamefanya...
Back
Top Bottom