Mzee Dee katika hotuba yake alisema Mkewe alikuwa na tabia ya kuweka 10% ya kipato chake kwa ajili ya kutoa Zaka ikiwemo kuwasaidia Maskini na wanaohitaji kusomeshwa. Aliyasema hayo wakati wa shughuli ya kumuaga mkewe abayo tuliohudhuria tulisikia hayo
Hili ni jambo zuri sana na limezungumzwa...