Wakuu Salaamu, naomba msaada kufahamu uhalisia wa hii picha niliyokutana nayo mtandaoni ikidaiwa kuwa Mwaka 1973 viwanja vya mnazi mmoja zilikusanywa Land Rover takribani 350, na Baba wa taifa Mwalimu Nyerere, uhalisia ni upi katika hili wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.