mazishi yake

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

    Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu. Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake...
  2. L

    UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga. Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu...
  3. Sildenafil Citrate

    Japan kufanya mazishi ya kitaifa ya Shinzo Abe Septemba 27, 2022

    Nchi ya Japan itatumia zaidi ya dola za Kimarekani milioni 1.83 kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Shinzo Abe baadae septemba 27 mwaka huu. Uratibu na gharama zote za mazishi kwa kiongozi huyu aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko mawaziri wakuu wote nchini humo yataandaliwa...
Back
Top Bottom