Kwa mujibu wa utafiti wa Harvard, kufanya mazoezi mara kwa mara kunaweza kuongeza muda wa kuishi! 🌟
Mazoezi yanafaida nyingi kwa afya yetu, ikiwa ni pamoja na:
Kuboresha afya ya moyo ❤️
Kupunguza hatari ya magonjwa sugu kama kisukari na shinikizo la damu 🚫
Kuboresha mfumo wa kinga 🛡️...