mba

The Master of Business Administration (MBA; also Master's in Business Administration) degree originated in the United States in the early 20th century when the country industrialized and companies sought scientific management. The core courses in an MBA program cover various areas of business administration such as accounting, applied statistics, human resources, business communication, business ethics, business law, business strategy, finance, managerial economics, management, entrepreneurship, marketing, supply-chain management, and operations management in a manner most relevant to management analysis and strategy.
Most programs also include elective courses and concentrations for further study in a particular area, for example, accounting, finance, and marketing, human resource. MBA programs in the United States typically require completing about forty to sixty credits (sixty to ninety in a quarter system), much higher than the thirty credits (thirty-six to forty-five in a quarter system) typically required for degrees that cover some of the same material such as the Master of Economics, Master of Finance, Master of Accountancy, Master of Science in Marketing and Master of Science in Management.
The MBA is a terminal degree and a professional degree. Accreditation bodies specifically for MBA programs ensure consistency and quality of education. Business schools in many countries offer programs tailored to full-time, part-time, executive (abridged coursework typically occurring on nights or weekends) and distance learning students, many with specialized concentrations.

View More On Wikipedia.org
  1. Mturutumbi255

    Uhusiano Kati ya Msongo wa Mawazo na Mba Kichwani: Sababu na Suluhisho

    Mba kichwani ni hali inayosababishwa na kupevuka kwa seli za ngozi ya kichwa kwa kasi na kuunda magamba meupe au ya njano. Ingawa kuna sababu nyingi zinazochangia tatizo hili, msongo wa mawazo (stress) ni moja wapo ya vichochezi vikuu vinavyoweza kuongeza uwezekano wa kupata mba. Makala hii...
  2. Mr Confidential

    Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA?

    Wakuu, Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA? Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance) NAkaribisha ushauri wowote kuhusu hii kozi na chuo.
  3. S

    Mbali na uongozi, mashabiki wa Simba nao ni wa kulamiwa kwani walikuwa hawataki kukubali timu yao ni mbovu na hoja yao ikawa ni Yanga wananunu mechi

    Mashabiki wasimba wakubali kuwa nao ni tatizo tena kubwa sana kuliko hata mabenchi ya ufundi yote yaliyopita kwani tangu msimu uliopita tulikuwa tunawaambia hii Simba ni mbovu wakawa wabishi huku hoja zikiwa ni Yanga kupitia GSM wananua hizi mechi, wanahonga waamuzi, wanacheza kombe la loser...
  4. Dr leader

    Madhara mafuta ya breki(Brake Fluid)

    Habari Madaktari na wafamasia, watu wengi tumekuwa tukitumia mafuta ya breki kujitibu mba. Nimepita mahali nimesikia yana madhara. Naomba kujua yana madhara gani?
  5. Sharo empress

    Misingi 21 Ya Biashara Itakayo fikisha Buashara Yako Hadi Kwa Wajukuu Zako [ MBA YA MCHONGO]

    Hello! Habari za muda huu.... Wazaramo wanasema "Kidire Mwali" Kama hujui kizaramo basi fahamu maana yake ni Mwali yuko uwanjani... Leo ndo ile siku yetu maalumu ya kuanza darasa letu lile la MBA ya MCHONGO Misingi 21 ya Biashara itakayofikisha Biashara yako kwa wajukuu zako...
  6. GENTAMYCINE

    Kama Magodoro yana Chawa, Kunguni na Mba hayanunuliki tena, kwanini Wasikimbiwe na Wanaojua Mpira?

    Huwezi kunywa Mo Energy Drink halafu Timu ikakosa Utajiri mpaka akina Wapiga Ngoma na Wanaoonana wasipende Kuichezea. Mido ya Chini Mtoto wa Tshisekedi na Mido ya Juu Mtoto wa Mwinyi na Wote wana Hasira na Walikotoka hivi hiyo Wiki Mbili ijayo Team Magodoro Kudoda Madukani FC watatokea wapi?
  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Mnaosema dini ni biashara mnakosea. Biashara ina manufaa kwa pande 2. Kama utanufaika upande 1 tu huo ni utapeli sio Biashara

    Biashara maana yake muuzaji anafurahi kuuza bidhaa yake huku akiweka kibindoni faida yake, while mteja akifurahia bidhaa ya thamani halisi. Kama mbele ya safari mteja akigundua kuwa ameuziwa bidhaa bandia au isiyo thamani halisi ya pesa yake hali hiyo tutaiita utapeli. Na huo utapeli ndio...
  8. Jozedan56009

    Study In India (MBA online program)

    Study MBA Online program at India Top University Recognised by TCU Duration: 2 Years Registration fee $500 ( One time Tuition fee per Year 750 USD For more : Call: 0678650509 Email: Info@elidamentors.co.tz
  9. Hance Mtanashati

    Calisah "amvua nguo" mrembo, amchana kweupe

    Baada ya mrembo Shakila kutoka Kenya kusema kwamba kuanzia sasa na kuendelea eti atakuwa anatoza dollar 50 ambazo ni zaidi ya laki moja ya kitanzania ili akujibu tu meseji yako uliyo M DM. Sasa bhana Calisah akaja chaaap kumuumbua 🤣🤣🤣kumbe bwana huyo demu anajifanya staa kumbe naye wale wale...
  10. GENTAMYCINE

    Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

    1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo? 2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo? 3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo? Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na...
  11. Financial Freedom

    MBA in Finance VS MBA in Accounting and Auditing ya Open University

    Habari wadau wa Elimu, Nipo njiapanda kuchagua kati ya hizo Masters mbili tajwa hapo juu lengo nifanye ACCA na CPA(T) baadae. Napokea mawazo na ushauri kutoka kwenu wakuu.Karibuni
  12. Mshua's

    Naomba ushauri nisome Master's ipi kati ya MBA in Marketing na MSc in Natural Resources Management?

    Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, naomba ushauri nisome Master's ipi kati ya hizo nilizozitaja? Na kama kuna chuo kizuri unakifahamu kwa masomo hayo usisite kunishauri, faida na hasara za kusoma kozi hizo pia ningependa kuzijua. Binafsi nafirikia kwenda UDOM...
  13. Premij canoon

    Ipi tiba ya tatizo sugu la M'BA kwenye ngozi?

    Wanajamii poleni na msiba wa taifa... Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara. Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za kupaka wanaisha baada ya mida wanarudi tena. Nimegundua hili tatizo lipo ndani ya mwili inahitajika...
Back
Top Bottom