mbaga333

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoJeVa

    SoC01 Majigambo ya nahodha na dereva

    MAJIGAMBO YA NAHODHA NA DEREVA. NAHODHA: Kazi ya majasiri..!!! Unahodha kazi nzuri, mtumbwi naendesha, Kwa nyuma naukalia, mawimbi naachanisha, Raha kisogoni naisikia, kasia langu kupigisha, Unahodha kazi nzuri, wengineo jifunzeni. DEREVA: kazi yenye heshima…!!! Udereva ni heshima...
  2. GoJeVa

    SoC01 Riziki anapanga mola au jitihada?

    RIZIKI ANAPANGA MOLA? AU JITIHADA?. Nitafafanua andiko langu hili kwa kuzingatia mitazamo miwili, yaani mtazamo wa kidhanifu (hapa nitajikita kidini zaidi) na mtazamo wa kiyakinifu (hapa nitajikita kisayansi zaidi). Hebu tuangalie ufafanuzi huo kama ifuatavyo; *UFAFANUZI...
  3. GoJeVa

    SoC01 Kufahamiana/Connections na kupata kazi

    KUFAHAMIANA (CONNECTIONS) KATIKA KUPATA KAZI. Kuna tabia imezuka sana katika jamii zetu na kadri tunavyosonga mbele inaelekea kuwa sugu, si nyingine tabia hii ni kupeana kazi/ajira kwa kufahamiana. Kwa lugha ya kiingereza tunaita CONNECTIONS. Katika andiko langu hili nitaangalia zaidi watu...
Back
Top Bottom