mbaroni kwa kuwafungulia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Zambia: Ofisa wa polisi mbaroni kwa kuwafungulia watuhumiwa washerehekee mwaka mpya

    Ofisa mmoja wa polisi nchini Zambia, Titus Phiri amekamatwa kwa kosa la kulewa akiwa kazini na kuwaachia huru watuhumiwa 13 na yeye mwenyewe kukimbia. Watu hao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo wizi, ujambazi na mashambulizi. Msemaji wa Polisi, Rae Hamoonga amesema Desemba...
Back
Top Bottom