mbaroni kwa kuwafungulia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zambia: Ofisa wa polisi mbaroni kwa kuwafungulia watuhumiwa washerehekee mwaka mpya

    Ofisa mmoja wa polisi nchini Zambia, Titus Phiri amekamatwa kwa kosa la kulewa akiwa kazini na kuwaachia huru watuhumiwa 13 na yeye mwenyewe kukimbia. Watu hao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo wizi, ujambazi na mashambulizi. Msemaji wa Polisi, Rae Hamoonga amesema Desemba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…