Wahenga walisema "kadri unavyopambana kuufumbata mchanga ndivyo unavyozidi kudondoka".
Vivyo hivyo na kwa upande wa madaraka, kadri kiongozi anavyopambana na watu ili kuyalinda ndivyo anayozidi kujiongezea maadui na wapinzani wa madaraka yake.
Mwisho wa siku anajikuta kishapambana na kila...