Habarini ndugu zangu 🙏
Tafadhali rejea: MWANZO 24: 1 - 51.
MHUSIKA AWE NA SIFA KUU KATI YA HIZI ZIFUATAZO:
1. Mchaga, Msukuma, Mhehe au Mbena with a good heart like Rebecca - without pretending or faking behavior
2. Umri : Miaka kati ya 25 hadi 35.
3. NOT HAVING ANY CHILD.
4. Government or...
Aliyekuwa mjumbe wa magroup ya whasap ya globify na dj maarufu mbeya amefariki jana jijini mbeya ndugu Mozart Mbena Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele poleni sana wana Mbeya. Kwaheri rafiki ! Tutaonana baadae.
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo.
Kwa kipindi nilichokaa Morogoro nilipata kusikia kwa kifupi taarifa kuhusu Mbena Malumbi na pia kuoneshwa baadhi ya zilizokua mali zake. Hivyo, nimekuja kwenu kuwaomba mnijuze kwa mawanda mapana kuhusu bwana huyo.