Sisi wakazi wa Mbezi Luis, Njia panda Makabe mpaka kwa Robert tunakaribia wiki sasa hatuna maji na hakuna taarifa rasmi yoyote toka kwa mamlaka husika. Tumekuwa tukinunua maji kwenye magari na bill imetoka kwa kiwango kilekile ingawa kwa mwezi wote huduma ya maji imekuwa ikisuasua.
Tunaomba...